Hivi ndivyo Hamisa Mobetto alivyosheherekea siku ya kuzaliwa ya mwanae

Image: Hamisa Mobetto na mwanae

Hamisa Mobetto hajulikana tu kwa sababu ya urembo wake lakini kwa moyo wake mkunjufu na mtu ambae hana neno na mtu yeyote. Ameweza kuiweka maisha yake off mitandaoni na mara moja moja huweza kuposti picha za mwanae ambaye anampenda sana, kulingana na anavyomuongelea kwenye mitandao yake ya kijamii.

Hivi leo mtoto huyo, Fansy amefikisha miaka mitatu tangu azaliwe na kama kawaida Hamisa Mobetto aliziposti picha kadhaa kumsheherekea mwanae kupitia account yake ya instagram. Aliandika kusema…

download latest music    

Happy birthday my Baby nakupenda @misfansy .

Model huyu aliposti picha kadhaa ambazo zimewaacha mashabiki wake wakitamani anavyomlea mwanake. Ata hivyo tazama picha hizo hapa.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua