Hussein Machozi aelezea masaibu ambayo amekuwa akipitia nchini Italy

Kwa muda mrefu staa wa bongo Hussein amwekuwa akiishi Italy lakini isa leo alirejea nchini kupumzika.

Alipata na wanahabari na wakazungumzia mambo mbali mbali ikiwemo mambo aliyoyakumba nchini humo. La kwanza ni chakula kwa sababu hoteli za huko hazina chakula kinachostahimili muislamu.

download latest music    

Sasa ilibidi akuwe akienda supermarket na kununua chakula alichokitaka.

Alieleza ya kwamba amesoma mengi kimuziki ambayo ata leta hapa nyumbani na kunufaisha sanaa.

Mtazame hapa kwenye hii video:

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi