Huwa Nam-miss Sana Tunda:-AbdulKiba

Pamoja na kwamba sasa hivi inasemekana kuwa anatoka na mwanahabari Casto Dickson,lakini mwanadada Tunda ametwaja kuwa ndio mwanamke ambae hawezi kusahahulikana na msanii Abdul Kiba ambae ni mdogo wake na Ali Kiba.

Abdul Kiba alikiri kuwa katika mahusiano yake yote aliyowahi kuwa nayo, mahusiano ambayo hatokaa hayasahau ni  ya mrembo tunda ambae alidumu nae kwa muda wa miaka miwili .

download latest music    

Mahusiano ambayo sitakaa niyasahahu ni kipindi nipo na Tunda,kwanza tukikutana kupitia social network na nilimuelewa na yeye alinielewa na tukaweza kukutana, na tukaweza kuwa kitu kimoja ingawa ni muda kidogo kwa zaidi ya miaka mitatu hivi.

Abdul Kiba ansema kuwa ilikuwa ni vigumu sana kwa watu kushtukia kwa sababu ana kipindi hicho tunda alikuwa sio mtu wa kutoka toka kwa sababu alikuwa akikutana nae alikuwa ni mtu wa kukaa ndani au kwenye gari tu.

siko nae tena kwa sasa lakini tulikaa kama miaka miwili hivi ni haikuwa public sana ingawa kuna watu walikuwa wanajua lakini ilikuwa ngumu sana kushtukia kwa sababu hata tulikuw atukikutana ilikuwa muda mwingine anakaa tu kwenye gari.

inatokea kum-miss kwa sababu unapomuona kwenye mitandao alafu ulishawahi kuwa nae , kwaio inatokea.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.