Hytham Amtolea Povu Zito Daxo Chali

Mwanadada hytham kim ambae aliwahi kufanya kazi na daxo chali akiwa kama mtayarishaji na  meneja wao amefunguka na kumtolea povu zito mtayarsiahji huyo baada ya muda mrefu kupita tangu watu hao wali[owahi kuripotiwa kuwa wamekuwa  hawafanya kazi pamoja tena.

Hytham na Daxo chali waliwahi kugombana na kuacha kufanya kazi pamoja huku daxo chali akisema kuwa wasanii hao (hytham na Nini ) walikuwa hawana nidhamu ya kazi hivyo kamua kuachana nao wakafanye kazi na sehemu nyingine.

download latest music    

Hata hivyo kinachofanya hytham akufunguka tena sasa hivi ni baada ya kuona kuwa mtayarishai huyo amekuwa akifungia nyimbo zake zote ambazo aliwahi kufanya wakiwa wote kwa madai kuwa sio haki ya msanii kwa sababu alikuwa chii yake.

Kilio cha Hytham kiakuwa kuwa hata baada ya kuacha kufanya kazi nae na kuanza kutoa nyimbo zake lakini bado kuna baadhi ya platform, Daxo chali amezifunga kwa ajili ya msanii huyo kuweka nyimbo zake.

Itakumbukwa kuwa Daxo chali alikuwa akifanya kazi na Nini pamoja a Hytham mpaka pale waliposhndwana  tabia na kila mtu kuamua kufanya mambo yake ya muziki na maisha kwa ujumla huku kila mmoja akitupia lawama ka mwingine.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.