Idris Sultan Amuombea Msamaha Maua Sama

Msanii wa Bongo movie na Comedian maarufu Idris Sultan ameibuka na kumuombea msamaha Msanii wa Bongo fleva Maua Sama baada ya kuwekwa rumande kwa siku tatu.

Siku chache zilizopita Maua Sama na mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown walitiwa nguvuni na jeshi la polisi baada ya video iliyowaonyesha wakiwa wanakanyaga pesa kusambaa Kwenye mitandao ya kijamii.

download latest music    

Baada ya kusambaa kwa video hiyo toka jumapili mpaka leo Soudy Brown na Maua bado hawajapata dhamana.

Idris Sultan ameibuka na kumuombea radhi Maua Sama na kuomba aachwe huru na Awe mfano wa kuigwa na jamii:

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Idris Sultan ameandika:

https://www.instagram.com/p/Bn6REJDhCPF/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1j9q2eztrp313

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.