Ifahamu Sababu ya Harmonize Kuita EP yake AFRO BONGO

Msaii wa bongo fleva Harmonize amefunguka na kutoa sababu ya kwanini Album yake ameamua Kuita Afro bongo , album ambayo imetoka hivi karibuni huku ikiwa na wasanii kibao kutoka nchi mbalimbali.

Msanii huyo anasema kuwa pamoja na yote lakini kikubwa kilichomfanya mpaka kuamua kuita hivyo ni kwa sababu muziki wa Afrika unaitwa AFRO na muziki wa Tanzania unaitwa Bongo fleva , hivyo aliamua kuunganisha.

download latest music    

Kwa sababu muziki wa Tanzania unaitwa Bongo fleva na muziki wa afrika unaitwa afro beats, iliamua kuunganisha kwa sababu muziki wetu sio wa Tanzania tu ni muziki wa Afrika.

Hata hivyo harmonize pia alitoa sababu ya kwanini aliamua kutoa album hiyo na kwenda kuzindua nchini Nigria kwa kusema kuwa hata Nigeria pia ni Afrika na kwa sababu muziki huo ni kwa ajili ya afrika basi ndio maana aliamua kwenda huko.

 

 

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.