Irene:-Nilimjua Hamisa kwa Kuonyeshwa Kwenye Picha


Mwanadada Irene aefunguka tena kwa mara nyingine kuwa hajawahi kuwa na ukaribu wowote na mwanadada Hamisa Mobeto ambae inasemekana kuwa ni mke mwenzie kutokana na dada huyokuwa na mahusiano na Diamond ambae pia aliwahi kuwa na mahusiano na  Hamisa na kuzaa nae mtoto mmoja.

Wawili hao wanaonekana kuwa na bifu kutokana na teams zao kuwa wakiwakosoa kila mmoja kwa muda wake na kuwasemea vibaya lakini Irene mwenyewe anasema kuwa hajawahi kukutana na hamisa na wala hamjui kabisa.

download latest music    

Sina ugomvi na hamisa kabisa kwanza hatujawahi hata kuongea wala hatujawahi kukitana sasa unakuwaje na ifu na mt ambae hata hamjawahi kukaa na kuongea  au kuonana hata mara moja.ninaweza kuonana na hamisa na tukaongea na kuwa washkaji lakini kwa sababu sijawahi kuongea nae siwezi kusema kitu.

Hata hivyo mwandishi alipomuuliza Irene kama anamjua hamisa na e alijibu kuwa hamjui kabisa na ameazna kumjua baada ya kuwa akienda katika interviews amekuwa akiulizwa kuhusu Hamisa.

ofcourse simjui kabisa kwakweli zaidi ya kuwa naulizwa kuhusu yeye,  na vile kuwa naonyeshwa tu picha kuwa Hamisa ndo huyo lakini nimemjua siku za hivi karibuni tu wala sio zamani.

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa mwanadada huyo kusema kuwa hamjui Hamisa kabisa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.