Irene Paul Atoa Ushauri Kwa Mastaa Kuhusu Kujichubua

Muigizaji wa Bongo movie Irene Paul ameibuka na kuwapa ushauri wasanii Mbali mbali ambao wamekuwa wakijichubua na kuwataka kuepuka gharama hizo kwa kuwa asilia.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Irene alisema amekaa na kujitathimini na kugundua kuwa hatumii gharama kubwa kununua nywele za bei mbaya au kutumia madawa ya usoni, lakini bado anaonekana mrembo.

download latest music    

Ukitaka kuniangalia kuanzia kichwani hadi ngozi yangu situmii gharama hata kidogo, naamini mastaa wengine wakiamua kuwa jinsi walivyo watapendeza na wataepuka gharama ambazo si za muhimu“.

Wasanii wengi wamekuwa waliweka wazi gharama kubwa wanazotumia kuhakikisha wanakuwa warembo ikiwemo krimu za bei mbaya Lakini pia mawigi.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.