Irene Uwoya na Dogo Janja Waanika Ratiba ya Chumbani Mtandaoni

Muigizaji wa Bongo movie Irene Uwoya pamoja na mume wake Mwanamuziki wa Bongo fleva Dogo Janja wameachana za watu wengi baada ya kuweka mambo yao binafsi ya chumbani kwenye mtandao.

Tukio hilo lilitokea siku ya jana baada ya Dogo Janja kuposti kipande cha karatasi kilikuwa kimeandikwa na kusainiwa na Irene Uwoya huku kikimuelekeza Dogo Janja siku atapewa na siku gani hapewi.

download latest music    

Of course hawakuandika wanapeana nini lakini mara moja kila mtu alianza kudhani kupeana mambo ya chumbani maana ujumbe ulianza na maneno “ Ratiba ya kukupa Mume wangu”. na kisha kaweka siku zote kuanzia jumatatu mpaka jumapili na kamwambia siku anazompa na siku ambazo hatompa.

 

Dogo Janja na Uwoya wametoka mbali sana tangu wafunge ndoa yao ya siri mwkaa jana ndoa iliyokuwa ndoa ya mwaka maana walitengeneza headlines vibaya mno maana hakuna aliyetegemea Dogo Janja angeweza kumpata Uwoya.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.