Jacqueline Wolper: Sina Tatizo na Zari

Muigizaji wa Bongo movie na mjasiriamali maarufu Jacqueline Wolper amefunguka na kuweka wazi kuwa hana bifu na mzazi mwenza wa Diamond Platnumz Zari The Bosslady.

Wolper amefunguka hayo siku chache baada ya Zari kuingia kwenye bifu zito baada ya kuwaambia wasanii hao wasikanyage kwake maana watachafua na wasanii kadhaa wa Bongo movie ambao ni Wema,Aunty Ezekiel, Faiza Ally, Shamsa Ford na wengineo.

download latest music    

Wasanii hao ambao wamerushiana maneno na Zari Mtandaoni wameweka wazi kuwa hawawezi kwenda Tena Kwenye Birthday ya Tiffah huko nchini South Africa kutokana na maneno ya Zari.

Jacqueline Wolper yeye alidai kuwa hana tatizo na Zari kabisa, wanaheshimiana iwapo atakuwa amerejea kutoka shule ambapo anasoma kwa sasa, atakwenda tu.

Shule ndio inaweza kunizuia lakini nikiwa nimerejea nitakwenda tu kwani sina tatizo na Zari“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.