Jakaya Kikwete: “Nimelemewa, Huzuni, Majonzi, Taifa Limepoteza Mtu Mahiri”

Raisi Mstaafu wa awamu ya nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefunguka kuguswa na msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa vipindi Clouds Media Group Ruge Mutahaba.

Raisi Kikwete Kupitia ukurasa wake wa Twitter amefunguka hudhuni yake Baada ya kufariki Ruge na kuweka wazi kuwa katika kipindi kigumu cha maombolezo:

download latest music    

Nimelemewa! Nakosa maneno ya kuelezea huzuni na majonzi niliyonayo kwa kifo cha Ruge Mutahaba. Taifa limepoteza kijana wake mahiri, mbunifu na mzalendo wa kweli. Nimepoteza rafiki, mshirika mwaminifu na mtu ambaye amenisaidia kwa mengi ktk uongozi wangu na hata baada ya kustaafu”

“Moyo wangu uko pamoja na wazazi wake, ndugu zake na familia yake katika kipindi hiki kigumu. namuombea kwa mola ampe mapumziko mema peponi. Ameen.” 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.