Jibu La Navy Kenzo Kuhusu Ndoa Yao

Wasanii wawili wanaounda kundi la Navy Kenzo ambao ni Aikah na Nahreel ambao pia ni wapenzi wa muda mrefu wamefunguka kuhusu mipango yao ya kufunga ndoa.

Nahreel wamekuwa Kwenye Mahusiano kwa miaka zaidi ya kumi na wamejikuta kupata mtoto mmoja Mwanzoni mwa mwaka huu na sasa wanafunguka kuhusu mipango yao ya kufunga ndoa.

download latest music    

Kwenye mahojiano waliyofanya na Friday Night Live ya East Africa Tv, Nahreel ameweka wazi kuwa ndoa ipo lakini anaamini muunganiko wao kimapenzi ni muhimu zaidi na ukaribu wao:

Mimi na Aika nadhani the bond ni special, wedding ni important kufanyika katika maisha lakini Bond yangu na Aika is very special”.

Lakini pia na Aikah alimfunza mkono mpenzi wake na kuweka wazi umuhimu wa kutengeneza bond baina ya wapenzi kabla ya kufunga ndoa ili hata ndoa ikifungwa wanandoa wewe na ukaribu zaidi utakaowasaidia kudumu Kwenye ndoa:

Na tusiwafundishe watu wengine kuwa walazimishe kuingia kwenye ndoa kabla mtu hajawa tayari kuwa na ile bond, ni muhimu sana”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.