Jike Shupa Avunjiwa Mlango Kisa Mashoga

Mwanadada aliyepata umaarufu sana baada ya utokea katika wimbo wa Jike shupa wa Nuh Mziwanda ambae kwa mud amekuwa akikumbwa na skendo ya kutunza mashoga na baadae kutunza watumiaji wa unga amekutwa na kisanga kipya  bada ya watu kuja nyumbani kwake na kumvunjia mlango.Mwanadada huyo alivunjiwa mlango na ndugu zake kwa madai kuwa hawataki ndugu yao akae na wanaume tata (mashoga) ambao amekuwa akikaa nao kwa siku nyingi sasa.

Ndugu wa karibu wa mwanadada huyo wamesema kuwa kwa muda mrefu ndugu ao amekuwa akiishi na watu hao na kufanya hata ndugu zake kushindwa kumtembelea nyumbani kwake.

download latest music    

Unajua watu wengi ambao ni ndugu wa jike shupa wamekuwa wakigoma kuja kwa jike shupa kwa sababu ya hao watu wake,karibia watu wake wote wa karibu na jike shupa ni wanaume tata.

Aliyekwa anatoa habari hiyo alisema kuwa ndugu zake walijipanga na kufika nyumbani kwa jike shupa majira ya saa moja usiku na kugonga mlango ambapo baada ya kugonga jike shupa aliwaona kwa kuwachungulia dirishani kisha akanyamaza kimya hakufungua.

Baada ya kugoma kufungua mlango huku wakiwa na uhakika kuwa yupo ndani ndipo walipopatwa na jazba sana kwa sababu ndugu zake ni washika dini sana.Kilichofuata ni kuusukuma mlango kwa nguvu mpaka waliovunja , hawakuamini macho yao.

Alipotafutwa Jike Shupa kuelezea tuio ilo alisikiaka akisema kwa tukio ilo lilishaisha siku nyingi sana na hata waliokuwa wamefanya hivyo walikuwa ndugu zangu.

Mbona iyo ishu ilishaisha , ilikuwa ni kwa sababu ya hawa ndugu zet( mashoga), wanasema kuwa hawapendi nikae nao, lakini mimi naona ni kama watu wengine tu.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.