Joh Makini Haoni Tatizo Wasanii wa Kiume Kuvaa Vikuku.

Msanii kutoka katika kundi la weusi mwenye kipaji kikubwa cha kuchana katika kundi hilo amefunguka na kusema kuwa kwake yeye huwa haoni shida pale anaopoona wanaume wanataka kuvaa vikuku kama uamuzi wao wameamua kufanya hivyo.

Joh Makini anasema kuwa wanaume kuvaa vikuu ni fasheni kama fasheni zinginekwaio hakuna swala la ajabu katika swala kama hilo kwa wanaume.joh makini anasema hivyo kwa sababu anamini kuwa wasanii ni watu wanaoenda na fasheni na kila siku style huwa zinabvadilika katika fasheni.

download latest music    

sijui kesho itakuwaje lakini mimi niachoamini ni style kamastyle zingine, kwa sababu kama mimi ninaamua kufuga rast na pia kuna watu wanataka kuvaa vikuu,kutoboa poa au masikio kwa sababu ni aina ya maisha anayoamua kuchagua mtu.

Maneno haya , yanakuja baada ya msanii mkubwa tanzania diamond platinumz kuonekana amevaa cheni katika mguu wake na kusababisha mashabiki kumshambulia sana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.