Jokate Ampokea Hamisa Kisarawe

Mwanadada  ,mwanamitindo na mkuu wa Wilaya aya Kisarawe  Jokate Mwegelo amekuwa moja ya wanawake wachache vijana kwa baadhi ya watu kukimbilia hasa wanapojua kuwa huyo ni kijana mwenzao.

kwa siku iliyopita, mwanadada jamisa mobeto alikuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa ambayo aliamua kusherekea siku hiyo kwa kutoa kitu kidogo kwa wale wahitaji na aliamua kufanya hivyo kwa kwenda katika wilaya  ya Kisarawe ambapo alitoa misaada mbalimbali.

download latest music    

hata hivyo baada ya kufika wilayani hapo , mwanadada Hamisa obeto alipokelewa na mrembo mwenzake, jokate mwegelo na kufanukisha tukio zima la kushereka siku yake na watoyo wenye uhitaji chini ya Mobeto Foundation.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.