Jokate Atoa Adhabu kwa Taifa Stars Baada ya Kufungwa.
Mwanamitindo na mkuu wa wilaya ya Kisarawe mwanadada Jokate Mwegelo amefunguka na kuonyesha hisia na mapenzi aliyonayo katika muziki kwa kusema jinsi gni ameguswa na kufungwa kwa timu ta taifa ya Tanzania ya TaifaStars.
Taifa stars ambao jana walipotza mcheoz baada ya kufugwa bao 1-0 na kupoteza mchezo huo ambao mashabiki wengi walikuwa wameweka matumaini kuwa watashinda, wamemuangausha pia mwanadada huyo na kuamua kuwapaadhabu,
katika ukurasa wake jokate aliandika kwa kuweka picha ya timu hiyo na kusema “kubangua korosho kunawahusu aiseee…”
Mwanadada Jokate ameuwa moja ya wasanii, wanamitindi na viongozi weny kuonyesha mapenzi sana latika swala zima la mpira hata kufikia hatua ya kusaidia vijana wenye vipaji.