Jokate Kumuongoza Ramsey Nouah Kwenye Kongamano La Vijana

mwanadada mrembo kabisa Tanzania ambae anazidi kungara kutokana na moyo wake wa kujitoa katika maswala ya kijamii leo ataweza kuambatana na msanii mkubwa wa kimataifa kutoka nchini nigeria Ramsey Nouah katika kongamano la viajana litakalo fanyika katika viwanja vya chuo kikuu UDSM.Wasanii hao watakuwa wagenni wakuu  wazungumzaji  katika kongamano la vijana  maeneo ya chuo kikuuu cha Dar Es Salaam.

Ramsey Nouah  ni moja ya wasanii wakubwa kimataifa ambao ambao wameipeleka tasnia ya movies za nigeria mbali zaidi,ramseya alishawhi kufanya kazi na msanii wa bongo movies marehemu Steven Kanumba iliyojulikana kama  Evil Kingdom iliyofanya vizuri katika tasnia ya movies za Afrika.

download latest music    

Rasmsey Nouah akiwa na msanii Idrisa Sultani.

Kongamano hilo ambalo linalengo la kuwahamasisha vijana na kuwainua katika sanaa litafanyika na kuhuduriwa na mastaa wengie akiwepo Idriss Sultan  aliyewahi kuwa mshindi wa BBA miaka ya nyuma.

Wasanii hao wataanza na mahijiano maalumu yanayofanyika sasa hivi katika kituo cha Radio cha East Africa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.