Jokate Mwegelo aeleza malengo yake baada ya kukutana na Jay Z, Beyonce, Akon na Thiery Henry

Jokate Mwegelo amekutana na baadhi ya wasanii mashuhuri dunia kote akiwemo Jay Z na mkewe Beyonce, Akon, Thiery Henry na wengineo.

Mwanamitindo huyo amesema sasa malengo yake ni kukutana na rais mustaafu wa Marekani Barack Obama na mkewe Michelle Obama.

download latest music    
Jokate Mwegelo na Akon

Jokate pia anatamani kukutana na mwanamuziki Rihanna. Alisema kuwa muimbaji huyo mashuhuri anafanana na yeye hadi mauombo yetu.

“Natamani sana kukutana na mwanamuziki Rihanna pia Obama na mkewe. Rihanna namuelewa sana kwa sababu tunafanana hadi mauombo yetu, itakuwa safi sana nikikutana naye,”alisema Jokate.

Jokate Mwegelo na Thiery Henry

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere