Juma Jux Kucheza Filamu Ndani Ya Bongo Movie

Msanii wa muziki wa Bongo fleva songwritter Juma Mussa maarufu kama Juma Jux ametangaza kucheza filamu yake ya kwanza ndani ya Bongo Movie.

Habari hiyo njema imedokezwa kwa mara ya kwanza Director wa video hapa nchini ikiwemo video nyingi za Jux Hanscana ameweka wazi kuwa hivi karibuni wawili hao wanampango wa kuja na movie.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Hanscana ameweka wazi kuhusu Ujio wa filamu hiyo Lakini pia ameweka wazi kuwa Jux alitaka  kufanya siri iwe suprise kwa mashabiki zake.

Jux amekuwa na mchango mkubwa sana Kwenye ukuaji wa Hanscana Brand, alikuwa na uwezi wa kushoot na mtu yoyote yule projects zake lakini akaona Noo why hii riziki nisimpe huyu kijana mwenzangu ili naye asaidie familia yake na vijana wenzake pia.

Shukrani sana Jux mimi nitaendelea kuhakikisha projects zakowsikuangushi bro…Also na movie yetu japo unataka ije kimya kimya lakini natoboa tu kwani kesi bei gani? Movie coming soon..”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.