Kajala Ataja Masharti Ya Yeye Kuingia Kwenye Ndoa Tena

Msanii wa Bongo movie na balozi wa Biko nchini Kajala Masanja ameibuka na kuweka wazi vigezo vya mwanamke ambaye anaweza kufunga naye ndoa kwa Mara ya pili.

Kajala amefunguka na kuweka wazi kuwa atakuwa tayari kwa ndoa endapo tu atapata mwanaume ambaye ni mkweli na mwaminifu.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Risasi Jumamosi, Kajala amesema kuwa yeye kama mwan­amke bado anatam­ani kuingia kwenye ndoa na akitokea mwanaume mwenye mapenzi ya dhati ataolewa kwa mara ya pili.

Nilishaolewa mara ya kwanza, la­kini kama mwanam­ke bado ninahitaji kuolewa, suala hilo lipo akilini kwangu, akitokea tu mwa­naume mkweli, naolewa”.

Kajala ambaye ni mama wa Mtoto mmoja wa miaka Kumi na Sita amekwisha watu kuolewa miaka ya nyuma na mwanaume anayejulikana Kama Faraji Chambo lakini ndoa hiyo ilivunjika baada ya mwanaume huyo kuhukumiwa kifungo jela.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.