Kaka wa Godzilla Atuma Salamu kwa Bella

Kaka wa marehemu Godzilla, msanii wa hip-hop nchini ambae amefariki wiki chache zilizopita, amefunguka na kumuomba mwanadada ambae amekuwa akijitangaza kuwa amekuwa na mahusiano Godzilla kuacha mara moja kufanya hivyo.

Bella ambae alitangaza kuwa na mahusiano na Godzilla masaa machache baada ya kifo cha msanii huyo na kuzua gumzo kubwa katika mitandao ya kijamii , amekanywa na kaka wa marehemu kuwa mdogo wake hakuwahi kuna skendo kipindi cha uhai wake hivyo asimtafutie akiwa ameshakufa.

download latest music    

Anasema “mdogo wangu hakuwahi kuwa na skendo kipindi cha uhai wake, namuomba huyo dada anaetaka kupata kiki kupitia marehemu aache mara moja na hatuache familia maana anatuumiza sana katika kipindi hiki kigumu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.