Kesi ya Wema Kufikia Ukingoni

Mwanadada Wema Sepetu ambae amekuwa aikabiliwa na kesi ya kuchapisha picha na video chafu katika mitandao ya kijamii , amefika mahakami tena February 13 kwa ajili ya kusikiliza kesi hiyo.

Kesi hiyo ambayo imekuwa ikitajwa mahakamni kila siku na kusemwa kuwa uchunguzi haujakamilika , wapelelezi waliamuliwa kutakwa kufanya uchunguzi kwa haraka  kwa sababu kesi hiyo imekuwa ikitajwa bila kufanyiwa kazi kabisa.

download latest music    

hata hivyo , baaada ya kesi hiyo kusomwa tena siku ya february 13, Kesi hiyo ya Wema Sepetu itatakiwa kusomwa tena february 21 , hivyo kumalizika kwa haraka kamaitaanza kusoma.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.