Kesi ya Wema Sepetu yazua mvutano mzito

Wakili wa Upande wa washtakiwa (Wema Sepetu na wenzake wawili walioshtakiwa kwa kupatikana na bangi) wamepinga ushahidi kutoka kwa Ofisi ya Mkemia Mkuu.

Kulikua na mvutano mzito katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam Jumanne Agosti 15 baada ya wakili wa Wema Sepetu na wenzake walili kudai kuwa kuna baadhi ya vitu vimeonekana katika ushahidi kutoka kwa Ofisi ya Mkemia Mkuu ambavyo havikuwepo awali.

download latest music    

Upande wa washtakiwa ambao unaongozwa na wakili Peter Kibatala na Tundu Lisu ulipinga kauli ya wakili wa serikali Constantine Kakula kudai kuwa ushahidi huo upo lakini hakutamka kuwa ushahidi huo ulifungwa ndani ya bahasha

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere