Kifo cha Mzee Majuto Kimezima Ndoto Yangu ;-Wema Sepetu.

Mwanadada Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii mareheme Mzee Majuto alikuwa akiwa bado yye hajatimiza ndoto nae alikuwa akitaka kuikamilisha kabla.

Wema anasema kuwa mwaka mmoja kabla aliwahi kupanga na kuongea na marehemu mzee majuto na wakakubaliana kuwa  watafanya kazi, lakini ikatokea ghafla alipoanza kuumwa na kusumbuliwa na maradhi yaliyomtoa Duniani.

download latest music    

nilipopata taarifa za msiba tu nilijua kuwa wazi ndot yangu imezimika, na kile nilichokuwa nakitaka hakiwezi kufanikiwa kabisa.nilitaka kujipima nione kuwa nikicheza vichekesho na yeye itakuwaje.lakini ndio hivyo tena imeshindikana.

Mzee majuto amefariki wiki iliyopita na kifo chake kimegusa watu wengi nje na ndani ya Tanzania kutokana na ukubwa wa kazi zake alizokuwa akifanya katka tasnia, aligusa maisha ya watu wengi sana hasa kusaidia kuchipua wasanii wachanga.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.