Kisa Umri Fake, Zari Ashikiliwa Uwanja wa Ndege.

Mwanadada Zari the bossy alikumbwa na mkasa mzito wiki iliyopitaambapo mwanadada huyo alikwenda nje ya nchi kwa ajili ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa lakini kwa bahati mbaya wakati yuko katia uwanja wa ndege wa Heathrow mwanadada huyo alishikiliwa na polisi katika  uwanja huo.

Habari zinazotolewa ni kwamba Zari alikaa hapo kwa muda kabla ya kuanza safari yake kutokana na habari zilizokuwa zikisambaa sana katika mitandao kuhusu umri wake kuwa sio sahihi ukizingatia kuwa passport yake haikuwa na umri sawa na ule uliokuwa ukisemwa.

download latest music    

Zari ambae siku yake ya kuzaliwa haikwenda vizuri baada ya kushikiliwa kwa msaa 16 akieleka London alikuwa akisemekana kuwa  ana miaka 43 wakati yeye akisema kuwa ana miaka 38.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.