Kuachana Kwa Zari na Diamond ni Kiki.

Ikiwa bado mashabiki wakisubiri tamko kutoka kwa msanii mkubwa Diamond Platinuzm kuhusu kuachana na mama watoto wake (Zari the bossy)  ambae siku ya wapendanao alitoa tamko rasmi la kuachana na msanii huyo huko katika mitandao ya kijamii kumekuwa kunazuka kwa maneno madogo maneno kutoka kwa wawili hao yanayowafanya mashabiki waanze kuamini kuwa wili hao wamekuwa wakifanya hayo yote ilimkpata kiki ya kuuza album mpya ya Diamond ambayo inatoka hivi karibuni.

Wakionekana kujibishana kwa style ya tofauti , Diamond Platinuzm katika ukurasa wake wa instagram aliweka picha ya kpande cha video ya Maromboso na kuandika maneno yanayohusiana na kile alichokisema zari siku anatoa tamko ilo la kuachana kwao.Ambapo ua jesi ni picha ya ua ambalo Zari aliweka na kuandika caption ya kuachana na Diamond siku ya valentine.

download latest music    

“haya mashairi changanya na ua jesi….dah @Mbosso kama ulinitabiria mdogo wangu”

Katika snapchat ya Zari aliweka video ikionyesha anasikiliza wimbo wa Diamond unaokwenda kwa jina la sikomi na kuandika ‘”utakoma tu mwenzangu”

Hata hivyo baada ya kuvamiwa sana na mvua ya maneno kutoka kwa mashabiki zake, zarianaanza kuonekana kama anajirudi kwa kile anacokuwa akikiandika kuhusu Diamond.

Hata hivyo siku ya jana katika kurasa za wasanii kutoka WCB, kulienea kwa video ikionyesha  kuwa kuna ujio wa wimbo mpya wa Diamond huku ikisemekana kuwa ni wimbo mpya ambao Diamond amemuimbia Zari kama kumuomba msamaha kutokana na skendo za kuwa na wanawake wengi na kutengeeza kiki baaada ya kuwa kimya kwa muda mrefu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.