Kufuatia Kifo Cha Mkurugenzi wa Clouds Media,Mh Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi.

Hawezi kusahaulika na wanafamilia na wapenzi wa Clouds na wapenzi wa bwana Ruge Mutahaba kwa sababu sio yeye ni  kiongozi lakini pia kutokana na moyo wake wa kuwa mwenye huruma hasa pale anapoguswa na familia zenye matatizo.

Akiwa kama mmoja waliosaidia sana katika kupigania maisha ya bwana Ruge Mutahaba, Mh rais   aliwahi kutoa pesa nyingi kwa ajili ya kusaidia matibabu yake lakini juhudi hizo zimegongwa mwamba.

download latest music    

Akituma salamu za rambi rambi kwa  familia  ya marehemu, Mh Rais amesema ameguswa sana na msiba wa bwana Ruge na kusema kuwa katika maisha yake atakuwa akimkumbuka kama kijana muhimu sana aliyeweka nguvu zake nyingi katika tasnia ya burudani  na kujenga fikra pevu kwa vijana.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.