Kuna Muda Natamani ku-post Picha ya Mpeniz Wangu Nashindwa :-Dayna

Mwanadada Dayna Nyange amefunguka na kusema kuwa kwa kipindi hiki cha valentine ni muda wa kukumbushana kuwa wawili waliopo katika mapenzi ni kweli mmekuwa mkipenda na wala sio kitu kingine.

Hata hivyo dayna anasema kuwa kuna muda anakuwa akitamani sana kuweka picha ya mwanaume aliyenae katika mahusiano lakini anshindwa kwa sababu  ya mitandao hivyo anabaki akisita tu.

download latest music    

Wakati muda mwingine amekuwa akitamani asiweke post ya picha ya mtoto wake lakini anajikuta tayari amekwsha weka na hayo yote ni kwa sababu ya mapenzi tu na wala sio kingine.

Hata hivyo mwanadada huyo ni moya wa wasanii wa kike wasiri sana hasa iapokuja kwa swala la mahusiano na ni nani amekuwa nae katika mahusiano kiasi kwamba hata mtoto wake hakuna anejua baba wa mtoto huyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.