Kunani Kati ya Wolper na Mr .Nice.
Kuna video imekuwa ikisambaa katika mitandao ikimuonyesha msanii mkongwe nchini aliyewahi kusumbua sana katika tasnia ya sanaa kwa style yake ya takeu iliyovuma afrika mashariki na kati pamoja na mwanadada wa bongo movies wolper Jackiline wakiwa club na wakiwa na ukaribu usioelezeka huku wakionekana ku-enjoy sana mazingira waliokuwepo.
Swali linakuja je wawili hao kuna nini kinachoendelea mpaka kufika hatu ya kuwa karibu na kutoka wote kwenda sehmu kama hizo au walikutana tu katika mazingira hayo.
Hapo nyuma Wolper alikuwa mpenzi wa Harmonize lakini pia Mr .Nice alishawahi kufanua kazi na wasafi na kuwa karibu na watu wa lebel hiyo, je ukaribu wa Mr. Nice na Jacky hautaaribu ukaribu wa mr nic na harmonize na team nzima ya wasafi. hayo ni baadhi ya maswali ambayo wamekuwa wakijiuliza mashabiki wao , lakini mwsho wa siku ukweli wanaujua wao wenyewe.