Kurasa za Wasanii Mbalimbali Zilivyopambwa na ‘Post’ za Valentine.

Ikiwa jana ni siku ya kusherekea sikukuu ya wapendanao, wasanii mbalimbali walikuwa wakiweka posts katika kurasa zao za instagram wakionyesha jinsi walivyokuwa wakishrekea sikukuu hiyo ya wapendanao, inawa wapo walioumia  na pia wao waliokuwa wanapost wapenzi wao na pia wapo walikuwa wakijua uwepo wa siku hiyo lakini wakionyesha kuendelea na kazi kama kawaida.baadhi ya kurasa za wasanii hao ni pamoja na :

RayVany:

download latest music    

Aliweka picha akiwa na mama wa mtoto wake fayhma.

MONI CENTRO ZONE

Aliamua kuweka picha ya mpenzi wake @officilanai ambae ni msanii mwenzake na kumsifia sana.

MOSE IYOBO.

Yeye aliweka picha ya mwanamke aliyeweza kumzalia mtoto wa kike Aunty Ezekiel na kuweka utenzi wa mapenzi wenye hisia kali.

                                         

ZARI THE BOSSY.

Siku yake ilianza kwa kusema kuwa siku ya valentine imekuwa ni ya kawaida sana kwake na anaendelea na kutafuta pesa.

                                        

Lakini ilipofika usiku zari the bossy aliamua kutoa tamko rasmi kuwa hayuko tena katika uhusiano wa kimapenzi na mzazi mwenzie Diamond Platinumz.

                                         

SHILOLEH.

Yeye aliweka picha na mwanaume wake aliefunga nae ndoa hivi karibuni huku wakionyesha wapo Igunga kwa ajili ya kutoa burudani kwa masgabiki zake.

DAYNA NYANGE

Dayna Nyange aliamua kuweka picha ikimuonyesha akiwa ameshika tumbo lake likionekana kama ni mjamzito na kuandika “HAPPY VALNTINES’. Hii iliibua hisia tofauti kwa mashabiki wakitaka kujua na kuhoji ni nani mhusika wa kitumbo hicho.msanii huyo mara ya mwisho alikuwa akisemekana yupo katika mahusino na Dax Cruz.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.