Kutangaza Kuacha Muziki Haikuwa Kiki:-Q-Chillah

Msanii mkongwe wa muziki, Q-chillah mefunguka na kuongelea swala lake la kutangaza kuacha muziki na baadae kurudi tena katika muziki kuwa sio kiki kama watu wanavyosema kwamba alitaa kufanya hivyo ili kutengeneza attention kwa mashabiki wake bali alikuwa ameamua kuachana na muziki ili kufanya kitu kingne na sio muziki tena.

Q-Chillah anasema kuwa kilicokuja kutokea ni baada ya kupokea simu kutoka nje na kuongea na moja ya watu waliwahi kuupenda sana muziki wake na kumwambia kuwa amekuwa akiona na kukijua kipaji chake siku nyingi hivyo haoni sababu ya yeye kuacha muziki bali anaomba kufanya nae kazi.

download latest music    

Q-chillah anasema kuwawat wengi wamekuwa wakija na kumsema kuwa alichofanya ilikuwa ni kiki lakini ukweli ni kwamba alikuwa akiona  jinsi ambavyo muziki wake ukimuendea pabaya,

kama niliweza kuomba ridhaa ya  watu wakati nataka kufanya muziki  ndio maana hata wakati nataka kuacha ilinibidi kuomba ridhaa ya kuacha haikuwa rahisi  rahisi kama inavyodhaniwa lakini pia haikuwa kiki kama watu wanavyofikiria.-Aliongea Q-chillah alipokuwa akiongea na waandishi wa habari wa Clouds tv 360.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.