Kwenye Msiba wa Zilla Mimi Niko Kwenye Kamati :-Wakazi

Msanii Wakazi amefunguka na kusema kuwa yeye kama msanii amekuwa moja kati ya watu wanaoongea sana wanapokuwa katika mikusanyiko ya watu na hii imemfanya kila siku kuwa mstari wa mbele kujichagua kama kiongozi wa sababu ya uongeaji wake hivyo anashawishi watu kwa haraka.

Wakazi ambae hapo awalia liwahi kuingia katika mgogoro wa kimuziki na Godzilla anasema kuwa hata katika msiba huo yeye ni kiongozi wa kamati ua kuandaa mazishi ya msanii huyo ambae kabla ya ufariki kwake waliweza kukaa na kumaliza tofauti zao.

download latest music    

Wakazi anasema kuwa yeye haoni kazi kuwatumikia wengine na hata kama hawatamchagua, kwake kuwa kiongozi katika maswala hayo haoni kazi.

huwa sichaguliiwi na mtu bali najichagua mwenyewe kwa sababu mimi ni muongeaji mbele ya wenzangu.mara nyingi matatizo yanapotokea mimi huwa ni muongeaji kwa wenzangu, nanhii unifanya kuwa mbele kuongoza wenzangu, hata kwenye msiba wa ndugu yangu Godzilla niko kwenye kamati

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.