Lady Jay Dee Akiri Kuwakubali Ben Pol na Vannesa Mdee.

Msanii wa kizazi kipya wa muda mrefu katika game amefunguka na kuonyesha hisia zake za kuwakubali wasanii Ben pol na Vanesa mdee katika game la muziki bila kigezo cha muda wao katika game lakini kwa kuangalia ufanyaji wao wa kazi unavyokwenda.

Sio swala rahisii sana kumuona msanii Lady Jay Dee akisema hadharani na moja kwa moja kuwa anawakubali wasanii flani lakini nadhani pale anapoongea anakuwa amemaanisha , hii inawezekana kabisa ni kutokana na ukubwa wake katika muziki na jinsi alivyouzoea muziki hivyo napomuona msanii na kumsifia basi ni kweli msanii huyo yuko sahihi.

download latest music    

katika ukurasa wake wa twitter, lady jay dee aliandika “Ben pol na Vannesa Mdee mapenzi yao yako real. na mapenzi yangu kwao hayana kikomo, hivyo tu yaan wadogo zangu.”

Hii inaweza kuthibitika zaidi ambapo wikiendi iliypita Vannesa alikuwa na show jijini ambapo Lady jay dee hakusita kwenda kumsapoti mdogo wake huyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.