Lady JD Amwaga Povu zito Baada Ya Kukosolewa Kwa Kuvaa Uchi

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Judith Wambura maarufu kama a Lady Jay are amewajia juu watu ambao wamemsema Baada ya picha ya gauni la wazi kusambaa.

Siku ya juzi Lady Jay Dee alizua gumzo kwenye Mitandao ya kijamii Baada ya picha yake iliyomuonyesha akiwa amevaa gauni jeusi lililoacha sehemu kubwa ya maungo yake nje.

download latest music    

Mashabiki walimjia juu Jay D kwa kuvaa nguo iliyomuacha wazi huku wengi wakidai wamechukizwa kwa sababu ni msanii na pia ni Koop cha jamii.

Baada ya Povu hilo Jay Dee ametoa majibu kwa watu hao na kusema wengi wao ni wanafiki kwani hata akivaa mavazi ya heshima huwa hawampongezi pia.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lady Jay Dee ameandika maneno haya:

Hivi wale watu wa maadili Mbona picha za Hivi huwa hamlike wala hamcomment kwa wingi mkiwekewa?

Haya maadili hayo hapo sasa inakuwaje? Mbona hamsifii, ila binadamu ni wanafiki sana sijapata kuona”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.