Lulu Athibitisha Kukutana na Mungu Live

Mwanadada Lulu Michael amefunguka na kutangaza kuwa alikutana na mungu live hasa baaada ya kukutana na matatizo makubwa katika maisha yake katika umri wake mdogo.

Akijibu moja ya pongezi alizokuwa akipewa na ke wa Mh Paul Makonda hasa baada ya kufanikisha zoezi kubwa katika maisha yake wikiendi iliyopita ambapo mpenzi wake alikwenda nyumbani kutoa mahali.

download latest music    

Mwanadada huyo amekuwa katika wakati mgumu mara nyingi hasa kutokana na makubwa aliywah kutapitia ikiwemo ya kufungwa gerezani akiwa na umri mdogo na hata kuwa na historia ya kuwa na kesi ya mauaji .

Lulu anasema kuwa kwa jinsi ambayo amekuwa akikutana na Mungu live katika maisha yake anaamini kuwa hakuna kinachoweza kumshinda katika maisha haya ya kawaida.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.