Lulu Michael Akataa Kuongelea Swala la Kupigwa na Majjizo

Kumekuwa na tetesi zilizosambaa katika mitandao kuhusu mwanadada Lulu Michael kupigwa na mwanaume ambae amemtolea mahali na kumvisha pete ya uchumba huku ndoa ikisemwa kunukia siku yoyote.

Mwanadada Lulu Michael amekataa kuzungumzia swala hilo huku akisema kuwa wengi wanaozungumzia na kusambaza taarifa  hawataki kuona anapiga hatua katika yale anayoyafanya kwa sasa lakini hawzi kuzngumzia swala hilo kwa sasa kwa sababu yuko na kampeni kubwa na yenye manufaa kwa jamii kuliko kitu chochote kwa sasa.

download latest music    

Kama umeshawahi kuona filamu za mapigano , mwisho wa siku utakuja kuona jinsi adui anavyojaribu kumuadaha sterling,  na hivyo ndivyo ninavyoyachukulia maneno haya.

Tetesi hizo zlianza hivi karibuni baada ya mwanadada huyo kuonekana hana pete ya uchumba aliyovishwa hivi karibuni na mume wake huyo mtarajiwa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.