Lulu Michael Atolewa Mahali na Mchumba Wake.

Mwanadada Lulu Michael ambae alikuwa kimya kwa muda mrefu kutoana na kuwa na kesi ya kuua bila kukusudia, wiki iliyoisha alianza kuonekana katika mitandao ya kijamii hasa baaada ya kuweka moja ya post zake kaika mitandao ya kijamii .

Lakini moja ya habari kubwa  ya kufurahisha ni kwamba mwanadada huyo kwa sasa anatarajia kufunga ndoa siku yoyote hasa baada ya matukio ya kuhararsiha ndoa hiyo yakifuata moja baada ya jingine.

download latest music    

Mwezi uliopita mwanadada huyo alivalisha pete ya uchumba na mpenzi wake wa siku nyingi majizo na sasa wiki iliyopita mwanadada uyoa ametolewa mahali na mwanaume huyo kuashiria kuwa siku yoyote wawili hao wanatarajia kufunga ndoa.

Mwanadada huyo ambae mashabii wake wamekuwa wakimsubiri kwa hamu sana kumuona akiwa katika mitandao na kufanya yale aliyokuwa aktafanya hapo nyuma amekuwa kimya sana tangu ametoka gerezani na inawezekana baada ya hayo ameona ni bora kubadilisha maisha yake kabisa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.