Mahaba Mazito, Anerlisa Ajibu Mapigo Kwa Ben Pol

Mwanadada Anerlisa Muigai ambaye yuko kwenye mahusiano na staa wa Bongo fleva Bernard Paul ‘Ben Pol’ ameonekana kujibu mapigo kwa Mpenzi Wake Baada ya kumtumia ujumbe wa kimahaba.

Siku ya jana Anerlisa alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa na Mpenzi Wake Ben Pol alimtumia ujumbe mzito Man kumuambia ni Jinsi gani anampenda na uzito alionao kwake.

download latest music    

Lakini inaonekana wapendanao hao wapo kwenye mahaba mazito kwani Anerlisa ameamua kumjibu Mpenzi wake kwa ujumbe mwingine ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram, Anerlisa ameandika maneno haya:

Asante Ben Pol kwa kuwa mtu nzuri na kuniletea Furaha kwenye maisha sitaki kusema meng lakini naomba niseme kuwa unanishangaza kila siku  Mwenyezi Mungu akubariki kuliko matarajio yako na akupe maisha marefu”.

https://www.instagram.com/p/Bscla8dg7XC/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1uz0ojt04n8l2

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.