Maisha ya Mitandao Yanatesa Wengi:-Rose Ndauka.

Mwanadada kutoka bong movies Rose Ndauka amefunguka na kusemakuwa maisha wanayoishi watu katika mitandao yanawapa matesi sana kutokana na ukweli kuwa wengi wao hawaishi yale maisha yao ya kiuhalisia na kuishia kuiga vitu ambavyo kwa namna moja ama nyingine sivyo walivyo.

Akitoa maoni yake kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii Rose Ndauka anasema ‘ maisha ya mitandao yanatesa wengi na wengine kusahau kabisa uhalisia watu na kupotea  na kujiona kuwa wao ndio wanahaki ya kila kitu.jamani tuwe makini na hii sehemu inayotukutanisha wengi , nadhani hata walioweka walikuwa na  nia nzuri”

download latest music    

Maneno ya Rose ndauka yanaweka ukweli uliopo bayana kabisa kwa maisha ya sasa ya mitandaoni ambapo watu wamekuwa wakijitahidi kuishi maisha yasiyo yao ilimradi tu kuwafurahisha au kuwaonyesha wengine wana uwezo wa kufanya kitu flani.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.