Majizzo Atangaza ujio mpya wa Lulu

Mchumba wa mwanadada Lulu michael amefunguka na kuweka bayana ujio mpya wa mpenzi wake huyo kwa kuweka kipande kidogo cha picha inayoonekna kuwepo jikoni kwa sasa  .

Huku ikiwa ni zaidi ya mwaka sasa tangu mwanadada Lulu Michael awe kimya katika mitandao ya kijamii na pia katika televisheni tangu alipokumbwa na hukumu ya kesi ya kuua bila kukusudia, mwanadada lulu michael amekuwa akisubiriwa kwa hamu na kila shabiki yake.

download latest music    

katika ukurasa wake wa instagram Majizo aliandika”back to bussiness “

Mwanadada Lulu michael anarudi katika tsnia akiwa tayari amesubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki zake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.