Makosa Wanayoyafanya Wanaume Wakati wa Kutongoza.

Kuna vitu vinahitaji uangalifu mkubwa sana unapokuwa unafanya hasa katka swala la mahusiano,  wapo wanaokaa na kujiuliza kwanini kila anapojitahidi kumuingia mwanamke kwa ajili ya kuanza nae mahusiano inakuwa vigumu, lakini kumbe hajui kuwa kuna kitu anakosea na hawezi kufanikiwa mpaka aweze kukiweka sawa.

Basi haya ni baadhi ya mambo unayotakiwa kuyaacha pindi unapotaka kumu-win mwanamke kimahusiano ;-

download latest music    
  • KUMPONDA MWANAMKE WAKE ALIYEPITA
    Mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.
  • KULALAMIKA
    Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.
  • PAPARA
    Wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.
  • KUJIFAKE
    Wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno
  • KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE
    unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke unamtongozaje mwanamke asubuhi

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.