Mama Kanumba Amsifia Wema Sepetu

Mama wa msanii marehemu Steven kanumba amekuwa akitoa maoni mara kwa mara kuhusu tasnia ya sanaa nchini na jinsi ambavyo wasanii na marafiki waliokuwa karibu na mtoto wake wanavyomchukulia kwa sasa tangu alipofariki.

Mama huyo anasema kuwa wasanii wengi waliwahi kusaidiwa ili kunyanyuka na mtoto wake lakini wasanii hao kwa sasa hakuna hata mmoja anaemkumbuka kanumba na mbaya zaidi wanakuwa wakiona hata aibu kusema katika itandao kuwa waliwahi kusaidiwa na kanumba.

download latest music    

Hata hivyo mama huyo anasema kuwa katika wasanii wote amekuwa akimpenda sana Wema sepetu ambae amekuwa hoani aibu kusema kuwa alisaidiwa sana na Kanumba mpaka kuwa msanii.

Katika watu pekee ninaowapenda ni Wema Sepetu kwa sababu amekuwa akikumbuka sana fadhila za mwanangu marehemu Steven kanumba.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.