Mama Watoto Wangu Ananivumilia sana :-Msami

Msanii wa muziki nchini msami amefunguka na kusema kuwa msimu huu wa siku ya wapendanayo amekuwa akiwaza na kujitahidi sana kutaka kurudisha mapenzi kwa mama wa watoto wake kwa sababu amekuwa mama bora kwa mtoto wake lakini mwenye uvumilivu sana kwake.

msami anasema kuwa pamoja na kwamba kuna muda anakuwa mbali nae lakini amekuwa akimjali na kuheshimu sana hisia zake na kazi zake pia, anasema kuwa mama huyo ni mwanamke anaeamini kuwa anampenda kutokana na mapenzi yake.

download latest music    

msimu huu n wa muhimu sana kwangu kwa sababu nataka kufanya kitu kwa mama wa watoto wangu, ananipenda, ananijali na kunisikiliza sana, ananikubali kwa kila hali na kukubaliana na yale tunayoyapitia kila siku.kwa upande wangu natumia siku hizi kuzidishia mapendo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.