Mama Yangu Ndio Mwanamke Pekee Aliyenipa Sapoti Kwenye MuzIli- Barnaba

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayeendelea kufanya vyema na wimbo wake mpya aliomshiriksha Vanessa Mdee ‘Chausiku’ Barnaba Boy amefunguka na kuweka wazi mapenzi yake kwa mama yake.

Barnaba amefunguka na kuongea mambo mazito kuhusu mama yake mzazi ambaye alifariki miaka michache ya nyuma na kudai ndiye mwanamke pekee ambaye ni wa Shoka kwake.

download latest music    

Barnaba ameweka wazi kuwa kinachomuumiza zaidi ni kuwa mama yake alifariki wakati ndio anaanza kupata mafanikio Kwenye muziki na hivyo mama yake hakuweza Kula matunda:

Mwanamke wangu wa shoka ni mama yangu ndio mwanamke pekee ambaye niliweza kumwambia hata yanayoniuma moyoni ambayo siwezi kumwambia girlfriend wangu.

Mama yangu alikuwa ananipa sapoti Kwenye muziki wangu wakati mafanikio ya Muziki yanaanza kuja Mungu akamvhukua”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.