Mambo Nay wa Mitego na Waziri Mwakyembe walizungumzia baada ya kukutana

Hivi leo Nay wa Mitego alikutana na waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Dr. Harrison Mwakyembe ambapo walizungumzia mambo mbalimbali.

Nay amekuwa akizungumziwa kwa muda sasa na ni baada ya kukamatwa na polisi kwa ajili ya wimbo wake wapo ambao ulionekana kukashifu serikali ya Magufuli.

download latest music    

Alikuja kuachiliwa baadaye kwa maagizo ya waziri Mwakyembe na leo walikutana kuongelea mambo tofauti ikiwemo mambo wanafaa kuongeza kwenye wimbo huo.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi