Mange Adai Ali Kiba Atapotea Kimuziki Bila Bifu na Diamond

Mwanaharakati wa mambo ya siasa kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi amefunguka na kudai Bifu linaloendelea kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba linamfaidisha zaidi Kiba.

Sakata hilo limekuja baada ya msanii Diamond kutaka kumaliza Bifu lake na Ali Kiba Siku ya Jana Baada ya kumualika kushiriki katika tamasha lake la Wasafi Festival.

download latest music    

Mange amepima uzito ishu hiyo na kusema kuwa Ali Kiba Hatakiwi kupatana na Diamond kwani year ndio anafaidishwa na Bifu hilo Babu bila Bifu hilo ana hatihati ya kupotea kimuziki.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika:

Sio kama nachochea ugomvi ila nimeongea fact tu. Tujikumbushe Ray na Kanumba. Mnalikumba beef lao? Siku Kanumba alipokosekana na lile bifu lilipokosekana Ray si alishuka na umaarufu ukapungua vibaya mno mpaka akapotea. .
So lile beef ndio lilikuwa linaibeba career ya Ray. Kwenye situation kama hizi yule ambae ndio msanii mkubwa zaidi huwa ana gain kiki kwenye beef ila anae gain sana ni yule mwingine. Beef la Ray na Kanuamba aliegain sana ni Ray ndo maana Kanuamba kukosekana akafulia.

Sasa naomba mu-ally hii concept to Diamond and Kiba. Then mtaelewa kwanini nasema hao wakipatana Diamond will win Kiba will loose. Diamond ndio ana benefit kwenye hili beef ila ana benefit kidogo mnoo anae benefit zaidi ni Kiba na ukijumlisha na dharau anazomfanyia ndio anazidi kupanda hata bila kutoa nyimbo ??. Ila wakipatana Diamond will gain everything and Kiba will loose everything. Wakipatana hao ndio utakuwa confirmation ya Diamond as the ONLY main artist wa Tz. Na Diamond is very strategic amelijua hili, keshajua kugombana na Kiba kuna faida ndogo sana kwake na faida kubwa sana kwa Kiba.Amestuka kuwa anamfaidisha Kiba. Na anajua akipatana na Kiba ni faida kubwa mnooo kwake na Kiba atapata faida ndogo. Ndo maana mnamuona Dai anahangaika staili izote ili mradi aelewane na Kiba. Anajua akielewana nae anampoteza mazima. Diamond sio mtu wa kujishusha kwa mtu kiasi hiki. He is very smart. Ana mahesabu yake. Ila na Kiba nae keshausoma mchezo ndo maana anampotezea tu ??. Na Diamond naamini amerealize hiki kitu kwenye seduce Me, maana alivyoleta ushindani ndio nyimbo ya Kiba ilinoga mara 1000 na watu waliisapoti kwa ushabiki na hasira ili wamkomeshe Dai. So So kaona bora amsogeze karibu ili ammalize kabisa abakie yeye ndio Konki Masta pekee wa bongo flava. .

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.