Mange Alipua Bomu, Asema Wastara na Steve Nyerere Waliwahi Kuwa na Mahusiano Hapo Nyuma.

Mwanaharakati Mange Kimambi amefunguka na kusema kuwa mwanamuziki na muigizaji wastara juma aliwahi kuwa na mhausiano ya kimapenzi hapo nyuma na msanii mwenzake seve nyerere lakini hakuna aliyewahi kujua na kwa sababu ilikuwa ni siri.

Wawili hao ambao wamenza kutukanana katika mitandao ya kijamii na kutishiana kutoleana siri mpaka za ndani imekuwa ni kama swala ambalo hakuna aliyetegemea kuwa lingeweza kufikia lilipofikia sasa.

download latest music    

Akiandika waraka mrefu wenye matuzi na kebehi nyingi mange kimambi amesema kuwa Steve Nyerere aliwahi kuwa na mahsuaino na mwanadada huyo lakini wastara  anajifanya kuwa ni mgonjwa wakati anaweza kutoka kimapenzi na wanaume tofautu tofauti ilhali hajali ugonjwa alaiona.

Wastara ambae ahap awali aliptajiwa mambo ya steve nyerere alimjibu kuwa mambo ya steve nyerere ni ya zamani kabla hata ahajapata ajali , akimaanisha kuwa ni kipindi ambacho alikuwa hajaolewa lakini mange alikanusha  na kusema kuwa ni kipindi hiki cha ugonjwa wake ndio alikuwa katika mahusiano na Steve Nyerere  na pia mdogo wake Alikiba pia.

Mama mbona unajitetea nimeanza kukutajia ya steve nyerere unaanza kujitia eeti ooh ya zamani, eti ni mambo ya miaka 10 iliyopita wakati steve ame**** wakati ukiwa umeshakatwa mguu…..Ma***a kilema wewe , …Ki**** hata kiwe na miaka20…..malaya mchafu wewe ume***** mpaka na abdul kiba hivyo ivyo na kigulu chako. unapenda sana watoto wadogo wastara.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.