Maoni ya Viongozi Kuhusu Mkono wa Eid wa Diamond Kwa wana Tandale.

Wiki iliyopita kulikuwa na sikukuu ya Eid , sikukuu ambayo ilimaliza mfungo wa Ramadhani kwa waislamu Duniani, msani mkubwa tanzania na Duniani kote aliamua kutoa mkono wa  Eid na kuamua kusherekea sikukuu iyo na watu aliokuwa nao huko tandale.

Watu wengi walifurahi na kumuomba mafanikio kwa kila analofanya hasa kwa kitendo cha kuamua kukumbuka kwao, lakini baadhi ya viongozi wa dini wansema kuwa hiyo haikuwa sawa kwa sababu Diamond alijionesha sana hata kurekodiwa na vyombo vya habari.

download latest music    

Moja ya mashehe katika msikiti wa makongo juu alisema’sadaka siku zote inabidi itolewe kwa siri na ndio maana tunasema ikiwezana unatoa kwa mkono wako wa kulia basi ue wa kushoto haupaswi kujua,mimi nimeona alichofanya diamond lakini kiimani hayuko sahihi kwa sababu pale kuna wengi watamsifia lakini kwa mungu hana chake , ile tunaita ria.’

       Icho ndo alichofanya Diamond, kwamba hangekuwa amefanya kwa siri na kubabatizwa na waandishi hapo ingekuwa sawa lakini unaona kabisa mpaka televisheni yake ilikuwepo.

Kiongozi mwingine wa dini ana sema”sio huyo diamond tu , sasa hivi wasanii wakienda hata katika vituo vya watoto yatima wanakusanya  wana habari wanaweka picha katika mitandao ya kijamii , angepata thawabu sana kama swala lile la kuwapangisha watu foleni lingekuwa kwa siri.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.