Mapenzi ya Harmonize na Wolper yavunjika kwa mara ingine tena….yadaiwa Harmonize kapata mtoto na msichana mwingine

Mapenzi ya Harmonize na Wolper yamekwisha kwa mara ingine tena!

Huo ndio ujumbe unaoenea kwa mitandao ya jamii wakati huu.

download latest music    

Inasemekana mambo iliharibika baada ya Wolper kugundua Harmonize apo na mwanamke mwengine wa kizungu na wanatarajia mtoto.

Kupitia U-heard ya XXL ya Clouds FM leo April 21, 2017 mtangazaji Soudy Brown alibuni kubaini ukweli lakini hakuweza kuwasiliana na wawili hao.

Ilibidi aongee na meneja wa WCB Babu Tale na haya ndio aliyoyasema:

”Tuzungumze biashara ya Chibu Perfume leo. Utakapompata Harmonize utazungumzia hilo. Mimi sio manager wa mapenzi ya wasanii wangu, namanage biashara na kazi zao basi.”

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi