Mapenzi yapo, Napenda pesa :-Rosa Ree

Mwanadada mwenye sifa za kipekee huku watu wakimsma sana kuhusu swala lake na kutokuwa na mahusiano amefunguka na kuelezea kwa nini kwa sasa hataki sana kujikita katika mahusinao kama mashabiki zake wanavyomuhoji huku wakitaka kuweka mahusinao yake hadharani.

Rosa ree anasema kuwa kitendo cha yeye kutokuwa katika mahusinao haimaanishi kuwa hakuna wanaomfuta kwa ajili ya kuwa nae katika mahusiano lakini kwake anaona mud wake bado kwa sababu anaamini kuwa yeye bado mdogo sana.

download latest music    

mapenzi yapo, napenda familia yangu, nampenda mwenyezi mungu na pia napenda sana pesamimi mdogo sana , am very young , yaani sio kwamba hawapo wanaotamani kuwa na rosa ree hapana lakini tu  hatuendani.

Mara nyingi mwanadada huyo amekuwa akisisitiza kuwa watu wasiomuenoa kama yuko tofauti kwa sababu ya swala la mapenzi tu kwa sababu hata yeye ana moyo wa kupenda na pia anaogopa kuumizwa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.